Lyrics

Femi One - Donjo

0
original text at mamqa.com/ulyricsnew/femi-one-donjo-1392280
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber
(Kaka Empire is the Lifestyle)
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber (RiccoBeatz Mr 808)
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber
Pamba inabambaga kamfuko kakiwa na doh
Jaba inakamata madoba zikiwa kwa form
Hepi inabambaga manoma zikiwa kwa floor
Reggea inakamata warazi wakiwa mandom

Weka "Dont disturb" kwa mlango
Mbili mbili ya wawili wawili kwa tango
Side yangu ya left watu wako right angle
Mateso ni ya beberu, mateso ni ya mama kambo
Give them tukisepa ju mabanga wako area
Curfew inakatsia sherehe na mamorio
Kesho ni wikendi tunashikisha kisheria
Kila mtu pewa pombe ka chanjo ya polio
Na iende sana (Eeh)
Donjo sherehе inadonjo
Donjo, we huoni vile sherеhe inadonjo
Donjo sherehe inadonjo
Donjo, we huoni vile sherehe inadonjo
Shilalalala bomb bomb shile
Pedi analala sana mbona anadelay
Kwani hajui Femi niko na form today
Nimepull up na mbogi za Kasa na za Kile
Lakini mbogi moja itarudi home na mkia
Mbogi ingine itarudi na stori za kuskia
Kwani jana kuliendaje mi siwezi kuambia
Mi nikicarry mizinga si watu hukaribia
Ni sherehe tunakula ka huna doh kula vako
Rotejo mi hungojaga nganya noma kwa Sacco
Before nifike Mwiki mi hushika manjiva Sunton
Niko Milan nimepiga ka manzi wa uptown
Na iende sana (Eeh)
Donjo sherehe inadonjo
Donjo, we huoni vile sherehe inadonjo
Donjo sherehe inadonjo
Donjo, we huoni vile sherehe inadonjo
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber
Chukua mmoja kwa cyber
Donjo sherehe inadonjo
Donjo, we huoni vile sherehe inadonjo
(ABH SOUND Baby)
 Edit 
Copy

YouTube

 Edit 

More Femi One

Femi One - Okay | Lyrics
Verse 1 Usipunguze Joto wacha moto ifanye kazi Shuguli ka imejipa piga Pamba pasi Rende kwa Senke ni mwendo kasi Ukipatikana rong side blanda basi Panga inapapasaa

Femi One - Hiyo One | Lyrics
Femi, Femi, Femi One Uno, Uno, Uno, Uno Hakuna mkate ngumu mbele ya chai Akili ni nywele zangu nilipaka dye More wananidai, Femi super duper fly Game iko A, X anaregret

Femi One - Nyokonyoko | Lyrics
Ero unanisoma ju nina rungu ya jamii Hapo si unajua nakuchorea mami Hakuna haja ya cancer hapa moshi ni manduku Tupu nazitoka bana za athuthu Si hapo ukinitoka

Femi One - D-Day | Lyrics
Kuna form basi si tufike Tusifike mapema ndio tusipike Sidhani ka nitalala si kesho ni D-Day Ju nikipitwa na fom hakunanga replay Mimi na masela tunacelebrate Sape kwa kibeti

Femi One - Baddest | Lyrics
(Riccobeats Mr 808) Femi One sema hiyo one Uno Femi never dose stress Kama mnasaka queen basi buda don't stress Ufala ndo siskii yani buda mi ndio mos def Yeah uliza UNEP

Femi One - Lockdown Freestyle | Lyrics
Marapper hushinda wakiskia Kameme ma Sunday Na mi niko studio daily ka Kamene na Andy Wako na energy haitoshi kunikiss 100 Wanatry kubonga mbolea ndio wapande Ila no how, I got

Femi One - Form Today | Lyrics
Nimetoka mbali na machali na mamanzi Hadi I need my form today And anything demma need Fi mi come unconditionally love today I give my all fi dem Demma write ride fi mi al

Femi One - Kipetero Kiyesu | Lyrics
"Alikuja akanipush akanipush Hadi nikaona acha niende ni- Niget tu ball yake Sa kuget ball ati nimeshakuja Nimemwambia niko na ball Huyo boy nakwambia aliniruka

Femi One - Donjo | Lyrics
Kama huna form chukua mmoja kwa cyber Chukua mmoja kwa cyber Kama huna form chukua mmoja kwa cyber Chukua mmoja kwa cyber (Kaka Empire is the Lifestyle) Kama huna form chukua

Femi One - Mikiki | Lyrics
Mikiki mikiki Mikiki mikiki (Bern Music) Mikiki mikiki Mikiki mikiki Future bright ndo uicheki Labda udunge digaga za welding Form zangu hazikuwangi za wengi Circle

Photo Femi One

 Edit 
Femi One

Femi One - Biography

 Edit